Tuesday 28 June 2016

EURO 2016: ENGLAND YACHAPWA NA NCHI NDOGO YA ICELAND


England wameaibishwa na Iceland kwa kutolewa nje ya michuano ya Euro 2016...


Iceland ni ka timu kadogo ambako wachezaji wake hawana hata pesa na wengine wanacheza mpira kwa msimu tu maana wana kazi nyingine zakufanya lakini wamefanikiwa kuwatoa England na kelele zao...


Iceland inawatu takriban 330,000 na timu ni namba 34 duniani...England ni timu ambayo imejengwa kwa makelele na kujisifu bila kuwa na mantiki yoyote...


Iceland ndio waliocheza vizuri kuliko England na kweli walistahili ushindi...

Wameshinda 2-1 na mabao ya Iceland yalitoka kwa nyota Sigurdsson dakika ya 6 na Sigthorson dakika ya 18...


Rooney ndie aliyepata bao pekee la England dakika ya 4 kwa tuta...


Iceland watakutana na France ndani ya Stade de France Jumamosi...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment