Monday 20 June 2016

YAYA TOURE: INTER MILAN WANAMTAKA TOURE




Yaya Toure anaweza kuhamia Inter Milan lakini badi dili ni '50-50'...Yaya Toure mwenye umri wa miaka 33 bado ana mwaka 1 kwenye mkataba wake...Boss wake wa zamani Roberto Mancini ndiye kocha wa Inter Milan...Boss mpya wa Manchester City, Pep Guardiola, atatambulishwa kwa wadau ma City baada ya wiki kama 2...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment