Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Monday, 20 June 2016
YAYA TOURE: INTER MILAN WANAMTAKA TOURE
Yaya Toure anaweza kuhamia Inter Milan lakini badi dili ni '50-50'...Yaya Toure mwenye umri wa miaka 33 bado ana mwaka 1 kwenye mkataba wake...Boss wake wa zamani Roberto Mancini ndiye kocha wa Inter Milan...Boss mpya wa Manchester City, Pep Guardiola, atatambulishwa kwa wadau ma City baada ya wiki kama 2...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment