Thursday 23 June 2016

LEICESTER CITY FC: VARDY AMEAMUA KUBAKIA LEICESTER


Mshambuliaji mashuhuri wa Leiceester na timu ya taifa ya England, Jamie Vardy, amesaini mkataba mpya wa miaka 4 na kuondoa gumzo la wengi baada ya club ya Arsenal kutangaza nia ya kumchukua mchezaji huyo...Msemaji wa club ya Leicester alisema "Leicester City pamoja na mwakiishi wake wamekubali kuongeza mkataba baina ya mshambuliaji huyo na mabingwa wa ligi ya England" Aidha aliongeza na kusema "natumanini mkataba huo utamaliza gumzo lililojengeka la Vardy kuhamia Arsenal baada ya club hiyo kutangaza nia"...


Vardy ambae yuko nchini France na timu ya taifa ya England, hatosema lolotehadi mashindano hayo yatakapoisha...England inajifua kujiweka tayari kupambana na Iceland...

No comments:

Post a Comment