Sunday 12 June 2016

F1: LEWIS HAMILTON AMPITA ROSEBERG KWA SEKUNDE 0.062 NA KUCHUKUA NAFASI YA KWANZA



Lewis Hamilton atakuwa nafasi ya kwanza kwenye Canadian Grand Prix leo...Sebastian Vettel wa Ferrari amekuwa wa 3...Red Bull wamechukua nafasi ya 4 chinibya Daniel Ricciardo...


Red Bull tena wamechukua nafasi ya 5 chini ya Max Verstappen na Kimmi Raikonnen amechukua nafasi ya 6...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment