Wednesday 22 June 2016

RIHANA: NYOTA WA MCHEZO WA NGUMI ZA UFC CONOR MCGREGORY AMEFURAHI KUKUTANA NA RIHANA NDANI YA DUBLIN


Baada ya concert ya mwanamuziki maarufu sana duniani Rihanna nchini Ireland jiji la Dublin alikutana na nyota wa ngumi za UFC Conor McGregory...McGregor aliacha tizi kali la kujifua ngumi na kukutana na Rihanna...


Pia McGregor alihudhuria concert ya Rihanna ya Album ya ANTI na mpenzi wake Dee Devlin...


Rihanna alifurahi kukutana na McGregor na kumshukuru kwa maneno mazuri...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment