Showing posts with label Rihanna. Show all posts
Showing posts with label Rihanna. Show all posts

Saturday, 4 December 2021

LEWIS HAMILTON ENDORSES BARBADOS' STANCE ON RIHANNA

 


"On a memorable day in Barbados’ history, one of the first things that the Prime Minister did was to declare pop star Rihanna as a ‘national hero’. The small country in the Caribbean finally become a Republic after shaking off the British crown 55 years after their independence. But there was one very famous Briton who not only accepted but cheered this on," Sir Lewis Hamilton on his dear friend Rihanna.

Wednesday, 22 June 2016

RIHANA: NYOTA WA MCHEZO WA NGUMI ZA UFC CONOR MCGREGORY AMEFURAHI KUKUTANA NA RIHANA NDANI YA DUBLIN


Baada ya concert ya mwanamuziki maarufu sana duniani Rihanna nchini Ireland jiji la Dublin alikutana na nyota wa ngumi za UFC Conor McGregory...McGregor aliacha tizi kali la kujifua ngumi na kukutana na Rihanna...


Pia McGregor alihudhuria concert ya Rihanna ya Album ya ANTI na mpenzi wake Dee Devlin...


Rihanna alifurahi kukutana na McGregor na kumshukuru kwa maneno mazuri...Bofya hapa upate habari zaidi.