Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Wednesday, 29 June 2016
CAF CONFEDERATION CUP: AL AHLY HOI KWA ASEC MIMOSAS
Asec Mimosas ya Abdijan wamefanikiwa kuwachapa mabingwa wa Egypt Al Ahly 2-1 nyumbani ndani ya Borg El Arab...Mabao hayo yametoka kwa Yannick Zakri na Armand Nianke...Al Ahly wametoka kunyakua ubingwa kutoka kwa Zamalek sasa wana kazi ya ziada maana hawakutegemea kuchapwa... Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment