Wednesday 29 June 2016

CAF CONFEDERATION CUP: AL AHLY HOI KWA ASEC MIMOSAS


Asec Mimosas ya Abdijan wamefanikiwa kuwachapa mabingwa wa Egypt Al Ahly 2-1 nyumbani ndani ya Borg El Arab...Mabao hayo yametoka kwa Yannick Zakri na Armand Nianke...Al Ahly wametoka kunyakua ubingwa kutoka kwa Zamalek sasa wana kazi ya ziada maana hawakutegemea kuchapwa... Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment