Tuesday 14 June 2016

BOXING: ANTHONY JOSHUA ANATAKA KUUNGANISHA MIKANDA YA HEAVYWEIGHT


Anthony Joshua amesema anataka kuunganisha mikanda na pia anasema bado kabisa hajaonyesha uwezo wake...Josh alitandika Charles Martin katika round 2 tu na kuchukua mkanda ndani ya O2 Arena...Joshua atatetea mkanda wake wa IBF dhidi ya Dominic Breazeale June 25 ndani ya o2 Arena...Joshua ajawahi kuchapwa katika michuano yake 16 na yote 16 kwa knockout (KO)...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment