Thursday 23 June 2016

COPA AMERICA: CHILE NDANI YA FAINALI YA COPA AMERICA


Chile imewalaza Colombia 2-0 ndani ya uwanja uliojaa maji kutokana na mvua kubwa sana iliyosababisha mechi kusimamishwa...Mechi iliahirishwa masaa 2 ndani ya uwanja wa Chicago Bears...Fainali ya mwaka huu inajirudia tena kwani mwaka jana Chile walifanikiwa kushinda kupitia matuta...Colombia sasa watacheza na USA kutafuta mshindi ya 3...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment