Monday 27 June 2016

COPA AMERICA: ALEXIS SANCHEZ ASHINDA GOLDEN BALL


Nyota wa timu yaArsenal, Alexis Sanchez, amekuwa mchezaji bora wa Copa America...Sanchez ameshinda Golden Ball baada ya kuwachapa Argentina 4-2 kwenye matuta na kuchukua ubingwa wa Copa America...Goli kipa Claudio Bravo amechukua Golden Glove...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment