Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Monday, 27 June 2016
COPA AMERICA: ALEXIS SANCHEZ ASHINDA GOLDEN BALL
Nyota wa timu yaArsenal, Alexis Sanchez, amekuwa mchezaji bora wa Copa America...Sanchez ameshinda Golden Ball baada ya kuwachapa Argentina 4-2 kwenye matuta na kuchukua ubingwa wa Copa America...Goli kipa Claudio Bravo amechukua Golden Glove...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment