Friday 24 June 2016

VICTOR WANYAMA: TOTTENHAM WAMCHUKUA WANYAMA


Victor Wanyama amesaini mkataba na Tottenham wa miaka 5...Dau la Wanyama ni Pounds Milioni 11...Wanyama mwenye umri wa miaka 24 atakutana tena na kocha wake wa Saints, Mauricio Pochettino, ndani ya White Hart Lane...Wanyama amesema ni vigumu kuaga timu ambayo imempa nafasi mkeya wa kwanza kucheza Premier League...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment