Wednesday 29 June 2016

WIMBLEDON 2016: STAN WARWINKA KUCHUANA NA JUAN MARTIN DEL POTRO ROUND YA 2


Stan Wawrinka amefanikiwa kusogea round ya 2 ya michuano mikubwa sana ya Wimbledon huko England baada ya kumchapa dogo kutoka America Taylor Fritz...Wawrinka ambae ni namba 4 Switzerland amemchapa dogo Fritz mwenye umri wa miaka 18 7-6 (7-4) 6-1 6-7 (2-7) 6-4...Wawrinka sasa atakutana na Juan Martin Del Potro round ya 2...Del Potro anayetokea Argentina aliwahi kushinda US Open ya mwaka 2009 amefanikiwa kumtoa Stephane Robert 6-1 7-5 6-0...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment