Thursday 30 June 2016

YANGA: KAMATI YA MAADILI YAMTAKA JERRY MURO KUJIELEZA


Jerry Muro ameitwa na Kamati ya Maadili ya TFF ilikujieleza kutokana na vitendo vyake kabla ya mechi ya Yanga na TP Mazembe...Ni mara ya 3 Muro anaitwa mbele ya Kamati hiyo...Muro ni Mkuu wa Kitengo cha Habari Yanga...Muro anatakiwa kufika ofisi za TFF tarehe 2 au kama hatoweza atume mwakilishi kwa maandishi...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment