Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Thursday, 30 June 2016
YANGA: KAMATI YA MAADILI YAMTAKA JERRY MURO KUJIELEZA
Jerry Muro ameitwa na Kamati ya Maadili ya TFF ilikujieleza kutokana na vitendo vyake kabla ya mechi ya Yanga na TP Mazembe...Ni mara ya 3 Muro anaitwa mbele ya Kamati hiyo...Muro ni Mkuu wa Kitengo cha Habari Yanga...Muro anatakiwa kufika ofisi za TFF tarehe 2 au kama hatoweza atume mwakilishi kwa maandishi...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment