Showing posts with label Jerry Muro. Show all posts
Showing posts with label Jerry Muro. Show all posts

Thursday, 30 June 2016

YANGA: KAMATI YA MAADILI YAMTAKA JERRY MURO KUJIELEZA


Jerry Muro ameitwa na Kamati ya Maadili ya TFF ilikujieleza kutokana na vitendo vyake kabla ya mechi ya Yanga na TP Mazembe...Ni mara ya 3 Muro anaitwa mbele ya Kamati hiyo...Muro ni Mkuu wa Kitengo cha Habari Yanga...Muro anatakiwa kufika ofisi za TFF tarehe 2 au kama hatoweza atume mwakilishi kwa maandishi...Bofya hapa upate habari zaidi.

Wednesday, 27 January 2016

YANGA: UCHAGUZI MAANDALIZI YAANZA


Club ya Yanga sasa iko mbioni kutayarisha uchaguzi wa club hiyo...Msemaji wa Yanga, Jerry Muro, amesema mambo sasa yameiva baada ya Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji, kumchagua mwanasheria Mapande kusimamia kamati ya uchaguzi ili iweze kuandaa uchaguzi baada ya hiyo nafasi kuachwa wazi na mwanasheria Alex Mgongolwa...Mgongolwa alisema anaachia ngazi kwasababu anataka kupata muda wa kukaa na familia...Yusuf Manji amesema atasimama kutetea kiti cha uenyekiti na amesema watu wengine wajitokeze...Bofya hapa upate habari zaidi.