Wednesday 27 January 2016

YANGA: UCHAGUZI MAANDALIZI YAANZA


Club ya Yanga sasa iko mbioni kutayarisha uchaguzi wa club hiyo...Msemaji wa Yanga, Jerry Muro, amesema mambo sasa yameiva baada ya Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji, kumchagua mwanasheria Mapande kusimamia kamati ya uchaguzi ili iweze kuandaa uchaguzi baada ya hiyo nafasi kuachwa wazi na mwanasheria Alex Mgongolwa...Mgongolwa alisema anaachia ngazi kwasababu anataka kupata muda wa kukaa na familia...Yusuf Manji amesema atasimama kutetea kiti cha uenyekiti na amesema watu wengine wajitokeze...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment