Wednesday 27 January 2016

AUSTRALIAN OPEN 2016: JOHHANA KONTA NA ANDY MURRAY WAINGIA NUSU FAINALI



Uingereza kwa mara ya kwanza toka mwaka 1977 inawachezaji wawili ndani ya nusu fainali...Johanna Konta na Andy Murray walifanikiwa kuiingia nusu fainali ya Australian Open baada ya kuwachapa Zhang Shuai kutoka China na David Ferrer kutoka Spain...


Mechi nyingine Raonic alifanikiwa kuingia nusu fainali kwa mara ya kwanza alivyomchapa Gael Monfils 6-3 3-6 6-3 6-4...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment