Wednesday 20 January 2016

MANCHESTER CITY: BONY AKANUSHA UVUMI



Wilfred Bony amekanusha uvumi kuwa anataka kurudi Swansea...Toka Bony ahoji kuachwa nje na Pellegrini December watu walianza kuvumisha anataka kurudi Swansea...Bony amesema bado anafurahia nafasi yake hapo Manchester City...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment