Monday 25 January 2016

EPL: CHELSEA YAPONEA KUPITIA ARSENAL YA WATU 10


Kutokana na kadi nyekundu aliyepewa Mertersacker wa Arsenal mapema kwenye dakika ya 18 Chelsea kupitia Diego Costa walishinda kwa bao hilo pekee kutokana na uzembe wa mabeki wa Arsenal...Arsenal walicheza vizuri kama hakuna mtu nje na walikosa mabao kadhaa lakini pamoja na hayo Chelsea nao walikomaa na kudhibiti mianya ya mabao...Mchezaji wa Chelsea Willian Borges da Silva ndie pekee aliyecheza vizuri kwa upande wa Chelsea...Arsene Wenger alifanya sub baada tu ya ile kadi nyekundu kwa kumtoa Giroud lakini wadau wa mpira waliona hiyo move kama ni kosa ingawa Wenger alikuwa anataka kuimarisha beki na alikuwa na sababu zake pia...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment