Monday 18 January 2016

TANZANIA MAINLAND PREMIERSHIP: YANGA KILELENI BAADA YA KUICHAPA NDANDA FC.


Yanga imerudi kilele baada ya luichapa Ndanda FC bao 1...Bao lilipatikana dakika ya 60 kupitia tuta...Kevin Yodani ndie aliyefunga bao hilo...Mechi haikuwa rahisi kwa Yanga kwani Ndanda walikaza buti kwelikweli...Awali Yanga walikosa penalty baada ya beki wa Ndanda kumfanyia ndivyo sivyo Simon Msuva lakini Amis Tambwe alikosa bao...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment