Saturday 30 January 2016

K.R.C. GENK: MBWANA SAMATTA AINGIA RASMI GENK



Mbwana Samatta amesajiliwa rasmi na timu ya K.R.C. Genk ambayo iko nafasi ya 6 sasa kwenye Belgian Pro League...Samatta ni mwanasoka bora Afrika na Tanzania tunajivunia kuwa na kifaa kikali sana...Samatta ametokea timu ya TP Mazembe na huko alikuwa mchezaji bora...Amewahi kuichezea Simba hapo nyuma...Kila la heri Mbwana Samatta katika maisha ya soka Ulaya...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment