Sunday 24 January 2016

AUSTRALIAN OPEN 2016: DJOKOVIC AFANYA MAKOSA 100 LAKINI ASHINDA


Gilles Simon karibu amtoe namba 1 duniani Novak Djokovic lakini Djokovic aliweza kushinda 6-3 6-7 (1-7) 6-4 4-6 6-3...Katika uwanja wa Rod Laver mechi ilichukua masaa 4 na dakika 32 Djokovic akifanya makosa 100 au kwa lugha nyingine 100 unforced errors ambazo zingemfanya achapwe lakini aliweza kupata mwanga na kushinda...Djokovic sasa kaingia 8 bora na atapambana na Kei Nishikori kutoka Japan...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment