Tuesday 26 January 2016

AUSTRALIAN OPEN 2016: SERENA WILLIAMS AMCHAPA TENA SHARAPOVA



Serena Williams ameonyesha ukali wake baada ya kumchapa tena Maria Sharapova....Serena amemchapa Sharapova kwa mara ya 18 mfululizo na kuingia nusu fainali ya michuano mikali sana ya Australian Open huko Melbourne...Serena ambae ni namba 1 duniani alimchapa Sharapova 6-4 6-1 na sasa anafukuzia Grang Slam ya 22...Katika mechi nyingine Roger Federer alifanikiwa kumchapa Tomas Berdych 7-6 (7-4) 6-2 6-4...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment