Bacelona wanafukuzia vikombe 5 msimu na kimoja wapo wanachokitaka ni Copa del Rey...Athletic Bilbao walichapwa 3-1 na kuwaingiza Barca nusu fainali...Barca walishangazwa mapema baada ya Inaki Williams kupachika bao dakika ya 12...Suarez alisawazisha mapema kipindi cha 2 na mabao mengine walikuwa badae kwenye dakika ya 81 na 90+1 kupitia Pique na Neymar...Bofya hapa upate habari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe 🌎!
Thursday, 28 January 2016
COPA DEL REY: BARCELONA NDANI YA NUSU FAINALI
Bacelona wanafukuzia vikombe 5 msimu na kimoja wapo wanachokitaka ni Copa del Rey...Athletic Bilbao walichapwa 3-1 na kuwaingiza Barca nusu fainali...Barca walishangazwa mapema baada ya Inaki Williams kupachika bao dakika ya 12...Suarez alisawazisha mapema kipindi cha 2 na mabao mengine walikuwa badae kwenye dakika ya 81 na 90+1 kupitia Pique na Neymar...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment