Thursday 28 January 2016

COPA DEL REY: BARCELONA NDANI YA NUSU FAINALI



Bacelona wanafukuzia vikombe 5 msimu na kimoja wapo wanachokitaka ni Copa del Rey...Athletic Bilbao walichapwa 3-1 na kuwaingiza Barca nusu fainali...Barca walishangazwa mapema baada ya Inaki Williams kupachika bao dakika ya 12...Suarez alisawazisha mapema kipindi cha 2 na mabao mengine walikuwa badae kwenye dakika ya 81 na 90+1 kupitia Pique na Neymar...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment