Bacelona wanafukuzia vikombe 5 msimu na kimoja wapo wanachokitaka ni Copa del Rey...Athletic Bilbao walichapwa 3-1 na kuwaingiza Barca nusu fainali...Barca walishangazwa mapema baada ya Inaki Williams kupachika bao dakika ya 12...Suarez alisawazisha mapema kipindi cha 2 na mabao mengine walikuwa badae kwenye dakika ya 81 na 90+1 kupitia Pique na Neymar...Bofya hapa upate habari zaidi.
Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the globe ๐!
Thursday, 28 January 2016
COPA DEL REY: BARCELONA NDANI YA NUSU FAINALI
Bacelona wanafukuzia vikombe 5 msimu na kimoja wapo wanachokitaka ni Copa del Rey...Athletic Bilbao walichapwa 3-1 na kuwaingiza Barca nusu fainali...Barca walishangazwa mapema baada ya Inaki Williams kupachika bao dakika ya 12...Suarez alisawazisha mapema kipindi cha 2 na mabao mengine walikuwa badae kwenye dakika ya 81 na 90+1 kupitia Pique na Neymar...Bofya hapa upate habari zaidi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment