Thursday 14 January 2016

FIFA: KATIBU MKUU WA FIFA ATIMULIWA

 
Jerome Valcke

Jerome Valcke ametimuliwa na Shirikisho la Soka Duniani Fifa...Valcke amefukuzwa kutokana na kuhusika na mambo ya rushwa ambayo pia yanahusu kufaidika kwa uuzaji wa ticket za World Cup...Valcke ambae ni mfaransa mwenye umri wa miaka 55 amekanusha kuhusika lakini kwa sasa kazi imeota mabawa na Dr. Marcus Kattner atakaimu nafasi hiyo...
 
Markus Katttner, Kaimu Katibu Mkuu FIFA

Pamoja na mengineyo anahusika na matumizi mabaya ya pesa ya Fifa...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment