Thursday 21 January 2016

SIMBA SPORTS CLUB: KIIZA AMFIKIA TAMBWE KWA MABAO


Hamis Kiiza amemfikia Amisi Tambwe kwa kufikia mabao 10...Kiiza ambae anatoka Uganda aliweza kufanya hivyo katika mechi yao dhidi ya JKT Ruvu ambayo walishinda 2-0 ndani ya Uwanja wa Taifa...Kiiza aliweza kufikia mabao 10 alipofunga bao la kwanza la penalty...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment