Max Sports brings you the latest sports news, reviews, statistics, videos, documentaries and more from across the 🌎
Showing posts with label Amis Tambwe. Show all posts
Showing posts with label Amis Tambwe. Show all posts
Thursday, 23 March 2017
Monday, 13 February 2017
YOUNG AFRICANS FC: YOUNG AFRICANS (YANGA) YAUA VIBAYA SANA UBINGWA WA AFRIKA
Young Africans wametoa msimamo mkali kwenye usakaji wa ubingwa wa Afrika baada ya kuwachapa wenyeji wao Ngaya Club de Mde ya Comoros 5-1...
Thursday, 26 May 2016
TFF FEDERATION CUP: YANGA MABINGWA
Dar es Salaam Young Africans au almaaruf kwa jina la Yanga wameshinda kombe la FA au Shirikisho kwa kuichapa bila huruma Azam Fc wana Lamba lamba 3-1 ndani ya Uwanja wa Ben Mkapa...
Thursday, 12 May 2016
YANGA: AMIS TAMBWE YUKO MBIONI KUWEKA REKODI YA MABAO
Burundi International Amis Tambwe yuko mbioni kuweka rekodi ya mabao kwa msimu huu...Tambwe anamabao 21 sasa na hat-trick 2...Mambo yanavyoenda atachukua tuzo ya mfungaji bora msimu huu...Mwaka jana tuzo hiyo ilienda kwa Simon Msuva...Bofya hapa upate habari zaidi.
Sunday, 21 February 2016
VODACOM PREMIER LEAGUE: YANGA YAIZAMISHA SIMBA 2-0
Friday, 22 January 2016
VODACOM PREMIER LEAGUE: YANGA YAIRARUA MAJIMAJI 5-0
Yanga iko kilelelni baada ya kuirarua Maji Maji 5-0 bila ubishi...Yanga walianza mapema kupachika bao kupitia kwa Thabani Kamusoko dakika ya 4...Mpaka half-time ubao ulisoma 1-0 lakini baada ya kuingia kipindi cha 2 tu Donald Ngoma alipokwa pasi kutoka kwa Kamusoko na hakufanya kosa...Nyota wa mchezo alikuwa Amis Tambwe ambae aliondoka na hat-trick safi na sasa ni mfungaji bora kwenye ligi...Katika mechi nyingine kali Mwadui waliwachapa Kagera Sugar 2-1...Bofya hapa upate habari zaidi.
Thursday, 21 January 2016
SIMBA SPORTS CLUB: KIIZA AMFIKIA TAMBWE KWA MABAO
Monday, 18 January 2016
TANZANIA MAINLAND PREMIERSHIP: YANGA KILELENI BAADA YA KUICHAPA NDANDA FC.
Yanga imerudi kilele baada ya luichapa Ndanda FC bao 1...Bao lilipatikana dakika ya 60 kupitia tuta...Kevin Yodani ndie aliyefunga bao hilo...Mechi haikuwa rahisi kwa Yanga kwani Ndanda walikaza buti kwelikweli...Awali Yanga walikosa penalty baada ya beki wa Ndanda kumfanyia ndivyo sivyo Simon Msuva lakini Amis Tambwe alikosa bao...Bofya hapa upate habari zaidi.
Wednesday, 17 December 2014
VPL: MAXIMO EXIT BRINGS MIXED FEELINGS
Yanga has decided to make a difficult decision to let go Marcio Maximo.
Subscribe to:
Posts (Atom)








