Friday 22 January 2016

VODACOM PREMIER LEAGUE: YANGA YAIRARUA MAJIMAJI 5-0


Yanga iko kilelelni baada ya kuirarua Maji Maji 5-0 bila ubishi...Yanga walianza mapema kupachika bao kupitia kwa Thabani Kamusoko dakika ya 4...Mpaka half-time ubao ulisoma 1-0 lakini baada ya kuingia kipindi cha 2 tu Donald Ngoma alipokwa pasi kutoka kwa Kamusoko na hakufanya kosa...Nyota wa mchezo alikuwa Amis Tambwe ambae aliondoka na hat-trick safi na sasa ni mfungaji bora kwenye ligi...Katika mechi nyingine kali Mwadui waliwachapa Kagera Sugar 2-1...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment