Saturday 30 January 2016

CHELSEA: PATO AINGIA DARAJINI RASMI KWA MKOPO



Brazilian stiker Alexandre Pato katia timu darajani....Pato kaingia kwa mkopo mpaka mwisho wa msimu...Kwa uzoefu amechezea nchi yake mara 27 na kufifungia mabao 10...Kwa hali Chelsea ilipo Pato atawasaidia angalau waweze kumaliza nafasi nzuri msimu huu...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment