Friday 29 January 2016

AUSTRALIAN OPEN 2016: DJOKOVIC AMCHAPA FEDERER AINGIA FAINALI



Novak Djokovic amefanikiwa kuingia fainali za Australian Open baada ya kumchapa mkongwe Roger Federer...Djokovic alianza seti mbili za mwanzo kwa nguvu na kuzidiwa seti ya 3 na badae akapambana na kushinda seti ya 4...Djokovic alishinda kwa 6-1 6-2 3-6 6-3 na sasa anasubiri kucheza na Andy Murray au Raonic...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment