Monday 11 January 2016

NFL: BLAIR WALSH AWAKOSESHA USHINDI MINNESOTA

Kicker wa Minnesota Vikings, Blair Walsh, amewakosesha ushindi kwa kukosa field-goal ya yadi 27 tu...Kwa kawaida ikifikia kwenye playoffs na hasa game za wildcard huwa makosa hayafanyiki na yakifanyika ni makosa ya akili na kwa hali kama hii Minnesota walitakiwa kushinda game dhidi ya Seattle Seahawks...Katika hali hii ya kushangaza Walsh alisema anafahamu amewaangusha na kosa ni lake...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment