Tuesday 26 January 2016

CHELSEA: RAMIRES MBIONI KUTINGACHINA KWA MILIONI 25 POUNDS



Jiangsu Suning tumu ya China itamchukua Brazilian international  Ramires kwa dau kubwa la milioni 25 pounds...Suning walichukua Chinese Cup mwaka 2015 na walimaliza premiership yao wa 9...Ramires alitokea Benfica kwa milioni 17 pounds...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment