Tuesday 26 January 2016

SIMBA SPORTS CLUB: KOCHA KERR ABWAGA MANYANGA KWA KUACHA BARUA


Kocha wa Simba Sports Club Dylan Kerr ameandika barua ndefu kwa mashabiki na waandishi wa habari juu ya sababu za kusepa...Kwa ujumla barua hiyo ni ndefu na inashukuru sana mashabiki wa Simba kwa upendo wao kwa timu na pia inalaumu uongozi kwa kuingilia masuala ya ukocha bila uelewa wa kitaalam...Kerr amesema bodi haina hata mtu mmoja mwenye qualifications za Caf  na pia wajumbe kadhaa wa bodi wanairudisha timu nyuma sana...Malalamiko kibao ameyaweka kwenye hiyo barua ambayo kwa ujumla ni kuiaga club ya Simba na mashabiki wake na kutoa mwongozo wa kurekebisha mambo...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment