Friday 29 January 2016

ARSENAL: VIJANA WAWILI HATARI SANA KUTOKA DIAMOND FOOTBALL ACADEMY NIGERIA MBIONI KUINGIA EMIRATES


Arsenal imeshinda mbio za kuwanyakua vijana hatari sana kutoka Diamond Football Academy nchini Nigeria, Kelechi Nwakali na Samuel Chukwuezi, kwa pounds za Uingereze milioni 3...Arsenal katika mbio hizo wameweza kuwatoa Manchester City na Bayern Munich...Arsenal walianza kuwatafuta vijana hawa machachari mwaka jana kwenye mashindano ya World Cup ya  U-17 nchini Chile na katika michuano hiyo Nwakali alikuwa Captain na mchezaji bora na Chukwuezi alipachika mabao 3 na assist 3...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment