Thursday 7 January 2016

LEAGUE CUP: EVERTON YAILAZA MAN CITY 2-1


Everton imejiweka nafasi nzuri baada ya kuwachapa Manchester City mabao 2-1...Everton ndio walioona lango la City kwenye dakika ya 45 kabla tu ya mapumziko lakini dakika ya 76 City walisawazisha kupitia Jesus Navas baada ya counter attack kali iliyosababishwa na Sergio Aguero...City walijua game itakuwa draw lakini mambo hayakuenda hivyo na ilichukua dakika 2 tu kwa Lukaku kupachika bao na kuwaweka mbele Everton...Ni bao la 12 la Lukaku kati ya mechi 12...Mechi ya jana Liverpol walishinda 0-1 dhidi ya Stoke City...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment