Saturday 23 January 2016

EPL: LIVERPOOL YACHOMOKA MWISHONI KABISA KATIKA MECHI KALI DHIDI YA NORWICH


Liverpool FC kupitia Adam Lalana wamechomoka dakika kama ya 95 vile baada ya kuchapa mkwaju hatari...Liverpool wameshinda 5-4 na sasa wanaweza kupumua maana mechi ilikuwa kama danadana na timu zote zilijitahidi sana na pia kuna wakati walichemsha...Bao la Lalana lilimfanya kocha Jurgen Klopp kuvunja miwani yake alipokuwa anashangilia bao la 5 na la mwisho...Liverpool wameonyesha tena kuwa wao ni wataalam wa kugeuza mambo yakiwa yameenda kombo...Bofya hapa upate habari Zaidi.

No comments:

Post a Comment