Showing posts with label Adam Lalana. Show all posts
Showing posts with label Adam Lalana. Show all posts

Friday, 6 May 2016

EUROPA 2016: LIVERPOOL FC YAINGIA FAINALI


Liverpool imefanikiwa kumtoa Villarreal kazi ambayo haikuwa rahisi lakini ndio hivyo tena wametinga fainali...Liverpool walishinda mabao 3-0 na aggregate ya 3-1...Liverpool waliingia wakiwa chini aggregate ya bao 1 lakini Bruno Soriano alijifunga na waka sawa 1-1 kwa aggregate...Bao la 2 ilitoka kwa Daniel Sturridge dakika ya 63 na bao la 3 lilitoka kwa Adam Lalana...Roberto Firmino alisaidia sana mabao yote kupatikana...Mabingwa watetezi Sevilla watakutana na Liverpool kwenye fainali ndani ya jiji la Basel tarehe 18 May...Sevilla waliwachapa Shakhtar Donetsk mabao 3-1 na aggregate ya 5-3...


Mshindi wa kombe la Europa anapata nafasi ya kucheza moja kwa moja Champions League na kwa Liverpool hatakama wako chini wakishinda watakuwa ndani ya Champions League...Bofya hapa upate habari zaidi.

Saturday, 23 January 2016

EPL: LIVERPOOL YACHOMOKA MWISHONI KABISA KATIKA MECHI KALI DHIDI YA NORWICH


Liverpool FC kupitia Adam Lalana wamechomoka dakika kama ya 95 vile baada ya kuchapa mkwaju hatari...Liverpool wameshinda 5-4 na sasa wanaweza kupumua maana mechi ilikuwa kama danadana na timu zote zilijitahidi sana na pia kuna wakati walichemsha...Bao la Lalana lilimfanya kocha Jurgen Klopp kuvunja miwani yake alipokuwa anashangilia bao la 5 na la mwisho...Liverpool wameonyesha tena kuwa wao ni wataalam wa kugeuza mambo yakiwa yameenda kombo...Bofya hapa upate habari Zaidi.