Showing posts with label Bruno Soriano. Show all posts
Showing posts with label Bruno Soriano. Show all posts

Friday, 6 May 2016

EUROPA 2016: LIVERPOOL FC YAINGIA FAINALI


Liverpool imefanikiwa kumtoa Villarreal kazi ambayo haikuwa rahisi lakini ndio hivyo tena wametinga fainali...Liverpool walishinda mabao 3-0 na aggregate ya 3-1...Liverpool waliingia wakiwa chini aggregate ya bao 1 lakini Bruno Soriano alijifunga na waka sawa 1-1 kwa aggregate...Bao la 2 ilitoka kwa Daniel Sturridge dakika ya 63 na bao la 3 lilitoka kwa Adam Lalana...Roberto Firmino alisaidia sana mabao yote kupatikana...Mabingwa watetezi Sevilla watakutana na Liverpool kwenye fainali ndani ya jiji la Basel tarehe 18 May...Sevilla waliwachapa Shakhtar Donetsk mabao 3-1 na aggregate ya 5-3...


Mshindi wa kombe la Europa anapata nafasi ya kucheza moja kwa moja Champions League na kwa Liverpool hatakama wako chini wakishinda watakuwa ndani ya Champions League...Bofya hapa upate habari zaidi.