Friday 6 May 2016

EUROPA 2016: LIVERPOOL FC YAINGIA FAINALI


Liverpool imefanikiwa kumtoa Villarreal kazi ambayo haikuwa rahisi lakini ndio hivyo tena wametinga fainali...Liverpool walishinda mabao 3-0 na aggregate ya 3-1...Liverpool waliingia wakiwa chini aggregate ya bao 1 lakini Bruno Soriano alijifunga na waka sawa 1-1 kwa aggregate...Bao la 2 ilitoka kwa Daniel Sturridge dakika ya 63 na bao la 3 lilitoka kwa Adam Lalana...Roberto Firmino alisaidia sana mabao yote kupatikana...Mabingwa watetezi Sevilla watakutana na Liverpool kwenye fainali ndani ya jiji la Basel tarehe 18 May...Sevilla waliwachapa Shakhtar Donetsk mabao 3-1 na aggregate ya 5-3...


Mshindi wa kombe la Europa anapata nafasi ya kucheza moja kwa moja Champions League na kwa Liverpool hatakama wako chini wakishinda watakuwa ndani ya Champions League...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment