Thursday 26 May 2016

FORMULA E: PATA TASWIRA YA MASHIDANO YA FORMULA E YA MAGARI YASIOTUMIA MAFUTA


Wiki hii Formula E wako Berlin na baada ya hapo watamalizia jijini London mwezi ujao...


Formula E ni magari kama ya Formula One lakini hayatumii mafuta bali yanatumia umeme wa battery na hizo battery zinapoozwa na barafu kavu au dry ice...


Pata taswira ha mambo yalivyo huko Berlin Germany...Bofya hapa upate habari zaidi.

Alain Prost wa Renault  akipiga story a wenzake

Dry ice ikiwenkwa ili kupooza battery 

Mashabiki na wapenzi wa Formula E wakiangalia kwa makini...

Wapenzi wa Formual E kifamilia zaidi...

Bruno Senna akipiga selfie na mashabiki...

DJ wa musiki nae alikuwepo kutumbuiza mashabiki...
















No comments:

Post a Comment