Thursday 26 May 2016

ZLATAN IBRAHIMOVIC: "NIMEAMUA TIMU GANI NITAHAMIA"


Zlatan Ibrahimovich amesema ameamua timu gani atahamia lakini hajaitaja....Striker anayetokea Sweden amemaliza mkataba wake na Paris Saint-Germain na amepata offer nyingi kutoka timu mbalimbali duniani lakini wadau wanahisi ataingia Manchester United...


Ibrahimovic amewahi kufanya kazi na Jose Mourinho wakati wakiwa ligi ya Serie A timu ya Inter Milan...Inter walishinda ubingwa wakati huo...


Ibrahimovic alianza kuichezea timu ya nyumbani kwake ya Malmo mwaka 1999 na badae akahamia Ajax, Juventus, Inter Milan, Barcelona, AC Milan na PSG...Kwa ujumla anamabao 392 katika mechi 667 na mwakajana alifanya kweli kwa kufunga mabao 50 kati ya mechi 51...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment