Thursday 5 May 2016

CHELSEA: ANTONIO CONTE ANAMTAKA GONZALO


Kocha mpya anayeingia kuinoa Chelsea msimu ujao amesema anamtaka Gonzalo Higuain...Shida ni Higuain hamtaki Costa kwahiyo inabidi Costa atokee benchi au ahame nafasi...Higuain anayetkea Argentina dau lake ni £42 milioni na Conte anamhitaji sana ila ndio hataki kuwa chini ya Costa...Kuna tetesi huko China wanamtaka Costa na anaweza kupata dau la £300,000 kwa wiki lakini kwa sasa bado ataendelea kuwa mdau wa Chelsea...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment