Friday 20 May 2016

BOXING: GENNADY GOLOVKIN ACHUKUA MKANDA WA WBC ULIOACHWA NA SAUL ALVAREX


Saul 'Canelo' Alvarez ameuachia mkanda wake wa WBC middleweight na anassema bado anataka kuzichapa na Gennady 'GGG' Golovkin...Kwwa sasa pande zote mbili zinazungumza na kutafuta muafaka wazichape kwani Alvarez alikuwa anamtafuta Golovkin toka mwaka jana...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment