Thursday 19 May 2016

TOTTENHAM: ISLAM SLIMANI AWEKEWA DAU NA TOTTENHAM


Tottenham wako tayari kuweka dau la £23 milioni chini kumnyakuwa forward Islam Slimani kutoka Sporting Lisbon...Leicester nao wanamtaka Slimani na wameanza kumsaka lakini Slimani angependelea kwenda White Hart Lane huko Lorth London...Slimani alisaini mkataba mpya na Lisbon wa miaka 5 lakini katika mkataba wake kama mtu anataka kumchukua anaacha £23 milioni ubaoni...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment