Thursday 26 May 2016

MANCHESTER UNITED: CHELSEA YASHIKILIA HATI MILIKI YA JOSE MOURINHO MAZUNGUMZO YANAENDELEA


Kocha Jose Mourinho bado hajatangazwa rasmi kuwa kocha wa Manchester United kutokana na mazungumzo yanayoendelea baina ya boss wa Manchester Ed Woodward na agent wa Mourinho pamoja na wanasheria...Chelsea wana hati miliki ambayo waliinunua mwaka 2005 na wana haki ya kutumia jina la Jose Mourinho kwenye vitu vingi na Manchester hawawezi kutumia jina hilo bila upata ruhusa kutoka Chelsea...Hati miliki hiyo inamalizika tarehe 31 March mwaka 2015...Labda ikifikia leo jiomi Mourinho atakuwa amesaini mkataba na Manchester City...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment