Monday 30 May 2016

OLYMPIAKOS: MCHEZAJI WA OLYMPIAKOS ALAN PULIDO AMETEKWA MEXICO


Alan Pilido mwenye umri wa miaka 25 ametekwa na watu wasiojulikana huko Mexico kaskazini wakati akitoka kwenye party na wenzake...Watu waliomteka walizunguka gari yake na kumchukua katika mji unaoitwa Ciudad Victoria ambako ni karibu na nyumbani kwao...Polisi wanawasaka hao watu...Dodo huyu anaichezea timu ya Olympiakos na pia amewahi kuichezea timu ya Taifa ya Mexico...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment