Thursday 26 May 2016

FRENCH OPEN 2016: RAFA NADAL ASHINDA GRAND SLAM YA 200


Mkali wa Clay Court Rafa Nadal ameshinda mechi yake kubwa ya 200 baada ya kuchapa Fancundo Bagnis 6-3 6-0 6-3 kwenye michuano ya French Open inayoendelea...Nadal anatafuta taji lake la 10 la Roland Gaross ataingia round ya 3 na Marcel Granollers...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment