Sunday 15 May 2016

EPL: MECHI YA MANCHESTER UNITED YASIMAMISHWA KWA SABABU ZA USALAMA


Mechi kati ya Manchester United na Bournemouth ilisimamishwa kabla ya haijaanza katokana na kugundulika kwa kitu ambacho polisi walidhani ni bomu...



Mechi ilichelewa kuanza na badae watu wakatolewa nje na zimamoto zikaingia...



Kitu walichodhani ni bomu kililipuliwa na wataalam wamabomu...Mechi itapangiwa siku nyingi....
Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment