Thursday 26 May 2016

BREAKING NEWS: JOSE MOURINHO AMESAINI MKATABA NA MANCHESTER UNITED


Habari zilizoingia Max Sports kutoka kwa wadau Uingereza ni kwamba Jose tayari amesaini mkataba mpya na Manchester United...Mazungumzo yalikuwa marefu lakini sasa wameshakubaliana na hatimaye ni kocha mpya Manchester United...


Mourinho ni kati ya makocha wenye rekodi nzuri duniani na sasa yuko tayari kuinyayua Manchester United...Dakika kama 20 zilizopita ameonekana akiwa ndani ya suti na kashikilia makabrasha na sasa tunasubiri club ya Manchester itoe rasmi tamko...

No comments:

Post a Comment