Friday 20 May 2016

DAVID GINOLA: FRANCE INTERNATIONAL WA ZAMANI DAVID GINOLA AKIMBIZWA HOSPITALINI


David Ginola alianguka na kukimbizwa hospitalini kutokana na shinikizo la moyo...David Ginola alikuwa mchezaji hatari sana kwenye winga akiwa na timu ya taifa ya France na badae akachezea Paris Saint-Germain, Newcastle United, Tottenham, Aston Villa na Everton...Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment