Monday 30 May 2016

F1: LEWIS HAMILTON AMSHUKURU NICO ROSBERG


Lewis Hamilton amemshukuru dereva mwenzake wa Mercedes, Nico Roseberg, kwa kumwachia ampite kutokana na gari ya Nico kukosa nguvu huko Monaco GP...


Team Mercedes walimwambia Nico ampishe mwenzake kwakuwa gari haina nguvu na Lewis anaenda mwendo wa kasi anaweza kupambana na Ricciardo wa Team Red Bull...


Kilichomtokea Ricciardo ni bahati mbaya kwenye pit stop wakati pit crew ilijichanganya na wakachukua mataiti ambayo sio na kupoteza muda na Lewis akampita wakati anatoka pit lane...


Ni ushindi wa kwanza mwaka huu Lewis anasherehekea kwani majanga wamemkuta sana Lewis toka aanza msimu...Mara ya Bofya hapa upate habari zaidi.

No comments:

Post a Comment